Nafurahi kuona Tanzania inafufuka katika sokaa!!
Natamani kuona kila pedeshyeeee akimiliki timu moja ya ligi juu na kujenga kiwanja maendeleo ya timu yasonge mbele!!!
Yanga na sakata lao muwaaachie wenyewe ,majibu mtayapata baaada ya miaka 4 ,natumai wengine mtajifunza hapo
No comments:
Post a Comment