Tuesday, 16 August 2016

Conte awa kuvutio

Kocha wa Chelsea Antonio Conte awa kivutio katika game ya kwanza ya Premier league .
Chelsea ilifanikiwa kuwafunga wangonga nyundo wa London kwa goli 2 kwa 1.
Hazard kwa penalty na Costa dk.89.
Hivyo na kufanya makocha wapya wote kuanza  kwa ushindi.

No comments:

Post a Comment