Monday, 8 August 2016

Sakata la Yanga

Nafurahi kuona Tanzania inafufuka katika sokaa!!
Natamani kuona kila pedeshyeeee akimiliki timu moja ya ligi juu na kujenga kiwanja maendeleo ya timu yasonge mbele!!!
Yanga na sakata lao muwaaachie wenyewe ,majibu mtayapata baaada ya miaka 4 ,natumai wengine mtajifunza hapo

Pogback

Pogba ameshatua London na ameshafanyiwa vipimo Leo kutangazwa rasmiii!!

Saturday, 30 July 2016

Wauawa kwa kushindwa kulipa deni la biskuti India

Mtu mmoja na mkewe kutoka jamii ya Daliti inayobaguliwa tangu jadi nchini India wameuawa, mmoja akiwa amekatwa kichwa na mwengine kunyongwa kwa kushindwa kulipa deni la Rupee kumi na tano ambalo ni karibu senti ishirini na mbili tu.
Polisi kaskazini mwa taifa hilo wamethibitisha kisa hicho ambapo yasemekana mfanyi biashara anayetokea jamii ya hadhi ya juu,aliwaua wanandoa hao kwa kushindwa kulipa deni la biskuti walizokuwa wamewachukulia watoto wao.
Mfanyi biashara huyo amekamatwa.
Ubaguzi kwa misingi ya kijamii umeenea sana nchini India, huku watu wa jamii ya Daliti waliokuwa wamebadikwa jina la 'the untouchables' wakiwekwa kwenye daraja la chini kabisa kwenye sera hiyo ya kibaguzi nchini India iitwayo 'caste' ambapo wananyimwa fursa nyingi za kimaendeleo na hivyo kubaki katika lindi la umaskini .
Hata hivyo Visa vya ukatili wa kibaguzi dhidi ya jamii ya Dalit katika jimbo la Gujarat vimeongezeka mnamo siku za hivi karibuni na vimesababisha wimbi la maandamano kutoka watu wa jamii hiyo.

Thursday, 28 July 2016

Chelsea 1 Liverpool 0: Cahill´s header seals win

Gary Cahill's first-half header was enough for a 10-man Chelsea to see off Liverpool 1-0 in their International Champions Cup fixture.
Defender Cahill rose highest from a Cesc Fabregas corner in the 10th minute, heading it past Liverpool goalkeeper Loris Karius for the only goal of the game on Wednesday.
Jurgen Klopp's side could not find a way past Asmir Begovic despite Fabregas being sent off for a crunching tackle on Ragnar Klavan in the 70th minute at the Rose Bowl in Pasadena, California.
The loss was Liverpool's first of the pre-season under Klopp, having secured victories over Tranmere Rovers, Fleetwood Town, Wigan Athletic and Huddersfield Town.
Here's @GaryJCahill celebrating his goal earlier on... #CFCTour pic.twitter.com/daAhxVsMhu
— Chelsea FC (@ChelseaFC) July 28, 2016
Youngster Ovie Ejaria looked bright for the Reds, but it was Chelsea who were carving the better of the chances throughout the opening period, with Fabregas and Victor Moses particularly threatening.
Liverpool recruit Marko Grujic was in the wars in the first period and had to be treated on the stroke of half-time after a clash of heads, and was replaced at the break by Adam Lallana.
Chelsea sat back in the second half as head coach Antonio Conte tinkered with his side, with Juan Cuadrado, Pedro and new signing Michy Batshuayi entering the fray.
However, just three minutes later Conte's side were dealt a blow after Fabregas was given his marching orders for a studs-up challenge on Estonian defender Klavan.

Klopp reveals why he sent Sakho back to Liverpool

Jurgen Klopp has revealed his fury with Mamadou Sakho after he sent the French defender home early from Liverpool's tour of the United States.
The German revealed that Sakho - who has only recently been cleared of a doping violation which he served a provisional suspension for - had broken team rules three times and now faces crunch talks to save his Liverpool career.
"He nearly missed the departure of Liverpool [on the plane from Liverpool to San Francisco], he missed a training session and was late for a team meal," said Klopp.
"I have to build a group here and we’ve got to start new here. I thought it maybe made sense for him to fly home to Liverpool.
"We have some rules and we have to respect them – if somebody gives me the feeling they are not respecting it I have to react.
"After eight or ten days we can talk about it. We had no argument but I spoke - you cannot argue when only one person is speaking."
When asked if Sakho would be fined, Klopp said he preferred alternative methods of punishment as he seeks a considered and calm outcome to the dispute.
"Fine him? You can ask, and I can explain it in general. I am not interested in the money of the players, actually not really often in my life I have had to fine anybody because I want that we learn together to do the thing that is right.
"Always it is the same with every group. I don't like fining. Sometimes it's funny, when the fine is bulls***. Come on, pay for it, that's nice. But mistakes, fining never helps.
"It's not because they care about money, it's always 'yeah in the moment it hurts but after a while not'. So I want them to do the things because they want to do it, that's

Yanga yazidi kuwa na matumaini

Wednesday, 18 May 2016

Aveva: Wachezaji wasio waaminifu wameiangusha Simba

Rais wa Klabu ya Simba Evans Aveva



Evans Aveva ametaja sababu kadhaa za timu hiyo kufanya vibaya msimu huu, mojawapo ni kuwa na wachezaji wasio waaminifu baadhi yao beki Hassan Kessy na mshambuliaji Ibrahim Ajib
Rais wa Simba SC, Evans Aveva ametaja sababu kadhaa za timu hiyo kufanya vibaya msimu huu, mojawapo ni kuwa na wachezaji wasio waaminifu baadhi yao beki Hassan Kessy na mshambuliaji Ibrahim Ajib.
Akizungumza katika Mkutano na Waandishi wa Habari Jumanne katika Hoteli ya Collessium, Barabara ya Nyerere, Dar es Salaam, Aveva alisema wachezaji hao walifanya vitendo ambavyo vimewaondolea uaminifu katika klabu.
Aveva alisema Kessy alitolewa kwa kadi nyekundu katika mchezo wa Ligi Kuu na baada ya adhabu hiyo, klabu ikaamua kumuongezea adhabu, lakini kabla hajamaliza adhabu zake akaibuka kusaini kwa mahasimu Yanga
Kuhusu Ajib, Aveva alisema mshambuliaji huyo alitolewa kwa kadi nyekundu katika mchezo wa Ligi Kuu pia na asubuhi yake akapanda ndege kwenda Afrika Kusini.
Amesema mambo kama hayo pamoja na uendeshwaji mbovu wa Ligi Kuu unaofanywa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) vimechangia Simba SC kufanya vibaya msimu huu. 
Aveva amesema kutakuwa na Mkutano Mkuu wa klabu Julai 10, mwaka huu kujadili matatizo ya klabu na kutafuta suluhisho lake.
Kauli ya Aveva inakuja baada ya Ibrahim Ajib kufuzu majaribio katika klabu ya Lamontville Golden Arrows FC ya Ligi Kuu ya ABSA Afrika Kusini.
Hata hivyo, klabu hiyo haiko tayari kumnunua mchezaji huyo bali inataka kumchukua kama mchezaji huru na kumsainisha mkataba.
Kwa sababu hiyo, klabu hiyo imemtaka Ajib kurejea klabuni mwake kuangalia kama Mkataba wake umekwisha apeleke uthibitisho Afrika Kusini ili apewe Mkataba Arrows.
Wakala wa mchezaji huyo, Juma Ndabila ameliambia Lete Raha kwamba wanarejea Dar pamoja na Ibrahim Ajib.
 “Amefuzu majaribio, lakini kuna suala la mkataba hapa, yeye alisema kamaliza mkataba, na Simba wanasema bado ana mkataba, kwa hivyo anarudi kutatua hilo suala,” amesema Ndabila.
Kwa upande wake, wakala aliyemuunganishia majaribio Ajib Afrika Kusini, Rodgers Mathaba amesema kwamba mchezaji huyo amepewa fursa ya kurudi Arrow wakati wowote akiwa mchezaji huru.
“Amefuzu majaribio, sasa ni juu yake anatakiwa hapa kama mchezaji huru, anarudi Dar es Salaam kushughulikia mkataba wake, nafasi yake ipo wazi hapa wakati wowote,” amesema Mathaba.